David W. Kyeu ni mkufunzi wa Kiswahili katika chuo kikuu cha Wisconsin-Madison nchini Marekani. Mwandishi amewahi kufundisha Kiswahili pia katika chuo kikuu cha Brown nchini Marekani. Machapisho yake mengine ni pamoja na tamthilia ya Mchumba Haramu na hadithi za watoto kama vile, Sungura na Simutamba Shuleni na Nyangumi Mchoyo.
KIBALI
by David Kyeu

KIBALI
by David Kyeu
Published May 29, 2010
45 Pages
6 x 9 Black & White Paperback
Genre: FICTION / Action & Adventure